Machangudoa 15 waangukia pua kwa RPC Muroto

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto amesema kuwa, takribani machangudoa 15 wamefungwa kifungo cha miezi 6,  kisichokuwa na faini kwa makosa ya kuuza miili yao na kufanya ngono inayodhalilisha hadhi na utu wa  Mwanamke.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS