Ahukumiwa kunyongwa kwa kuuwa na kuiba nyeti

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imemuhukumu kunyogwa mpaka kufa kijana Amani Kalinga (21), Mkazi wa Kijiji cha Mpanda Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, baada ya kukutwa na hatia kwa kosa la kuuwa kwa kukusudia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS