Dalili ya 'Volcano' yaonekana Shinyanga

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Telack

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Telack, ametoa tahadhari kwa wananchi wa eneo la Ndembezi Mazinge, mkoani humo, kutokana na uwepo wa dalili za Volcano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS