Mashindano ya mbio za mbuzi yasomesha Wanafunzi

Mmoja wa washindi wa mbuzi

Leo Septemba 21, 2019, limefanyika tamasha la Arabian Dreams, ambalo lilikuwa na mashindano ya kukimbiza Mbuzi maarufu kama "The Goat Races" katika viwanja vya Green Kenyata Oysterbay Masaki Jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS