Nusu fainali ya kwanza, Tamaduni na Mchenga safi

Michezo ya kwanza hatua ya nusu fainali, Sprite Bball Kings 2019

Michezo ya kwanza ya hatua ya nusu fainali ya Sprite Bball Kings 2019 imemalizika katika Uwanja wa Ndani wa Taifa na kushuhudia mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars na Tamaduni wakianza vyema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS