'Hata Wabunge wa CCM, wanafukuzwa Bungeni'- Bonnah
Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bonnah Kamoli amesema sio Wabunge wa Upinzani pekee, ambao huwa wanafukuzwa Bungeni hata Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi huwa wanapelekwa Kamati ya Maadili, lakini wao huwa hawasemi.

.jpeg?itok=cjTGqrcF)