Serikali kutoa mikopo kwa waliosoma Shule binafsi
Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako, amewataka wanafunzi waliosoma Shule binafsi kwa ufadhili na hawakujaza vizuri taarifa zao za uombaji wa mkopo, wawasiliane na Bodi ya Mikopo, iangaliwe kama kuna uwezekano wa kupata fursa hiyo.

