Serikali kutoa mikopo kwa waliosoma Shule binafsi

Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako, amewataka wanafunzi waliosoma Shule binafsi kwa ufadhili na hawakujaza vizuri taarifa zao za uombaji wa mkopo, wawasiliane na Bodi ya Mikopo, iangaliwe kama kuna uwezekano wa kupata fursa hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS