Maagizo ya Rais Magufuli, yamtesa Makonda

Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu Rais Magufuli, kutoridhishwa na utekelezwaji wa baadhi ya miradi ya Mkoa wa Dar es Salaam, ikiwemo machinjio ya Vingunguti, imepelekea Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda, kushiriki katika ujenzi wa machinjio hayo hadi nyakati za usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS