Waziri Mkuu atoa agizo hili kwa NIDA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameitaka Mamlaka ya Usajili wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), ihakikishe wananchi hasa walioko vijijini wanapata angalau namba za utambulisho wa usajili wao, kabla ya muda wa usajili wa laini za simu haujamalizika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS