"Tunaomba radhi, hatukupenda" - kocha Taifa Stars Mchezo wa Taifa Stars na Sudan katika Uwanja wa Taifa Kaimu kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Juma Mgunda amewaomba radhi mashabiki wa soka na Watanzania kwa ujumla baada ya kupoteza mchezo wa nyumbani jana dhidi ya Sudan. Read more about "Tunaomba radhi, hatukupenda" - kocha Taifa Stars