"Tunaomba radhi, hatukupenda" - kocha Taifa Stars

Mchezo wa Taifa Stars na Sudan katika Uwanja wa Taifa

Kaimu kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Juma Mgunda amewaomba radhi mashabiki wa soka na Watanzania kwa ujumla baada ya kupoteza mchezo wa nyumbani jana dhidi ya Sudan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS