Rais kupeleka walimu nchi za falme za kiarabu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, amekutana na Mtawala wa Ras-Al-Khaimah katika umoja wa nchi za falme za kiarabu, Mtukufu Sheikh Saud Bin Saqr Al Qasimi na kufanya nae mazungumzo yaliyolenga kuendeleza uhusiano katika sekta ya elimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS