Familia ya Mugabe yabadili msimamo kuhusu mazishi
Mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe leo Septemba 27 unatarajiwa kuchukuliwa kutoka katika jumba lake kuu la mjini Harare na kupelekwa katika kijiji chake, kilichopo umbali wa kilomita 90 magharibi mwa mji mkuu kwa ajili ya mazishi.

