Vyama vya siasa vyapewa mwongozo
Asasi za Kiraia nchini Tanzania imevitaka vyama vya siasa nchini kuhakikisha wanazingatia ilani mpya iliyozinduliwa na kuitumia katika uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020 na chama chochote kitakachokaidi mwongozo huo kitakuwa kimejitoa chenyewe.

