CHADEMA watuma ombi kwa Kangi Lugola
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Kangi Lugola, kufuatilia rufaa za malalamiko walizowahi kuziwasilisha ofisini kwake juu ya zuio la Jeshi la Polisi la kufanya mikutano ya hadhara na kisiasa.

