Mbunge CCM amuita Fatma Karume ili amshauri

Mbunge wa CCM kutoka jimbo la Temeke, Abdallah Mtolea, amesema kwa sasa hawezi kumshauri chochote, aliyekuwa Wakili wa kujitegemea Fatma Karume juu ya chama gani cha siasa ambacho anaweza kujiunga nacho kwa sasa endapo atatangaza kujiingia kwenye siasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS