Tanzania yang’ara Kimataifa kwa uwekezaji Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Moremi Marwa Tanzania imetajwa kuwa katika orodha ya kiwango cha kimataifa katika masoko ya uwekezaji wa hisa na mitaji kwa mujibu wa kampuni ya viwango ya kimataifa FTSE. Read more about Tanzania yang’ara Kimataifa kwa uwekezaji