Mtanzania aliyecheza na John Stones atikisa dunia

Kenna Ngoma wa pili kutoka kulia waliosimama, akiwa kwenye Academy ya Man City alipokuwa na miaka 14.

Kenna Ngoma linaweza likawa si jina maarufu kwa Watanzani wengi, lakini kwenye soka la Uingereza na klabu ya Manchester City ni jina kubwa ambalo lilikatisha ndoto za kucheza soka na sasa ni mfanyabiashara mkubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS