Mtanzania aliyecheza na John Stones atikisa dunia
Kenna Ngoma linaweza likawa si jina maarufu kwa Watanzani wengi, lakini kwenye soka la Uingereza na klabu ya Manchester City ni jina kubwa ambalo lilikatisha ndoto za kucheza soka na sasa ni mfanyabiashara mkubwa.

