''Sina msanii au kigogo kwenye mahusiano"- Miss TZ

Miss Tanzania 2019, Sylvia Sebastian

Mshindi wa taji la ulimbwende kwa mwaka 2019/2020 hapa nchini Sylvia Sebastian, ametangaza kuwa yupo 'single' na kwamba hajaona msanii wala kigogo yoyote, ambaye atamshawishi kuingia naye katika mahusiano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS