Jose Chameleone adai kutishiwa maisha Jose Chameleone Msanii maarufu nchini Uganda ambaye kwa sasa ameanza kujihusisha na masuala ya siasa Jose Chameleone, ameuweka hadharani ujumbe wa mtu anayemtishia maisha, endapo atashindwa kumtumia kiasi cha pesa alichomuomba. Read more about Jose Chameleone adai kutishiwa maisha