Waziri Lugola aagiza wabakaji wanne kusakwa Waziri Kangi Lugola Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ametoa siku saba kwa Jeshi la Polisi Mkoani Rukwa, kuwasaka na kuwatia mbaroni wabakaji wanne waliokimbilia nchini Zambia. Read more about Waziri Lugola aagiza wabakaji wanne kusakwa