"Tunarudi kileleni tunakostahili" - Nugaz
Kuelekea mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) kati ya Yanga na Polisi Tanzania, Msemaji na Afisa Muhamasishaji wa klabu hiyo, Antonio Nugaz amesema kuwa sasa wamerejea rasmi katika ligi na watatembeza kichapo kwa yeyote atakayetokea.

