"Tunarudi kileleni tunakostahili" - Nugaz

Msemaji na Afisa Muhamasishaji wa klabu hiyo, Antonio Nugaz

Kuelekea mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) kati ya Yanga na Polisi Tanzania, Msemaji na Afisa Muhamasishaji wa klabu hiyo, Antonio Nugaz amesema kuwa sasa wamerejea rasmi katika ligi na watatembeza kichapo kwa yeyote atakayetokea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS