Nabii Mashimo atoa ujumbe kwa Mbowe

Mchungaji wa Taifa Nabii Mashimo, ametoa utabiri kwa majimbo yanayoongozwa na wabunge akiwemo Freeman Mbowe,Godbless Lema,Joseph Mbilinyi maarufu Sugu pamoja na Zitto Kabwe, kwamba watakosa ubunge kwenye Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS