Mkurugenzi wa Halmashauri akabidhiwa TAKUKURU

Waziri Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Bw. Adili Elinipenda, amchunguze Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkalama, Bw. Godfrey Sanga kwa matumizi mabaya ya fedha za umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS