Kelvin John aiteka Afrika Mashariki na kati

Mshambuliaji Kelvin John wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, ameibuka mchezaji bora wa mashindano na mfungaji bora, akiwa amefunga goli 7 kwenye mashindano ya CECAFA U20.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS