''Marekani wanatupongeza, hatuombi'' - Kabudi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi, amesema kuwa mataifa makubwa Duniani ikiwemo Marekani, wamekuwa wakiipongeza nchi ya Tanzania kwa kuweza kujisimamia yenyewe kiuchumi, ikiwemo katika ununuaji wa ndege zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS