Mbunge Ndanda, amtaka Mbowe awapishe wengine
Mbunge wa Jimbo la Ndanda Cecil Mwambe, amesema kuwa huu ni wakati wa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, kuacha ngazi na kuwapisha watu wengine, ambao anaamini wanayosifa ya kushikilia wadhifa huo kwasasa.

