Waitara ahoji Makonda kutomshirikisha kwenye ziara
Naibu Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Ukonga Mwita Waitara, amewataka wananchi wa jimboni mwake wasikubali kutumika kama daraja ili kuwasaidia wengine kupata nafasi za uongozi hii ni baada ya wananchi wa jimboni mwake,kutoa malalamiko dhidi yake kwa

