Kocha timu ya taifa ampa dili mpya Kelvin John

Mshambuliaji wa timu ya taifa U 20, Kelvin John

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya vijana U20, Zuberi Katwila amempa nafasi mshambuliaji wa timu hiyo, Kelvin John kufanya mazoezi katika klabu yake ya Mtibwa Sugar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS