Kocha timu ya taifa ampa dili mpya Kelvin John Mshambuliaji wa timu ya taifa U 20, Kelvin John Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya vijana U20, Zuberi Katwila amempa nafasi mshambuliaji wa timu hiyo, Kelvin John kufanya mazoezi katika klabu yake ya Mtibwa Sugar. Read more about Kocha timu ya taifa ampa dili mpya Kelvin John