Rais Magufuli alivyolikataa ombi la Kangi
Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola kushughulikia suala la mgogoro wa familia moja, ambayo iko gerezani kufuatia ugomvi wa familia uliohusisha suala ardhi, na kupelekea mmoja wao kufungwa jela.

