Kauli ya BASATA kuhusu 'video' za Menina

Baraza la sanaa la Taifa (BASATA), limemuita msanii wa filamu nchini Menina Tz, ikiwa ni masaa machache tu, tangu zisambae video na picha zake zisizokuwa na maadili katika mitandao ya kijamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS