Walichoahidi BASATA kuhusu 'video' za Menina Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA),limesema litayafanyia kazi maelezo ya msanii Menina Tz, mara baada ya kuzungumza naye kuhusu picha na video zake zisizo na maadili, zilizosambaa mitandaoni hivi karibuni. Read more about Walichoahidi BASATA kuhusu 'video' za Menina