Waliosoma shule binafsi wapatiwa mikopo
Jumla ya wanafunzi 1,890 waliosoma katika shule binafsi kwa ufadhili na wakathibitisha taarifa zao, Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESBL), kama ilivyokuwa imeagizwa na Waziri wa Elimu, Joyce Ndalichako wamekwishapatiwa mikopo.

