Mwalimu aliyewapa mimba wanafunzi 2 kuhukumiwa
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo, amewaagiza wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani humo,kuhakikisha Mkuu wa Shule ya Sekondari Mzindakaya iliyopo kata ya Kaengesa, wilayani Sumbawanga Dastan Mlelwa, anafikishwa mahakamani

