ACT - Wazalendo yavuna wenyeviti 98
ACT - Wazalendo yavuna wenyeviti 98.Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, amepokea wanachama wapya 98, wa vyama vya CCM na CUF kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam,

