TAKUKURU yamnasa Askari wa JWTZ

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Kagera, inawashikilia watumishi wanne, akiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS