Maiti yakataa kuzikwa kisa pesa ya mahari

Jeneza

Waombolezaji  wa msiba katika kijiji cha Shambarere, Kaunti ya Kakamega nchini Kenya wameshuhudia kisa cha maiti ambayo ilitakiwa ikazikwe, lakini ikashindikana baada viungo vyake vya mkononi kukunja ngumi kwa madai ya kutaka kulipwa mahari yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS