Wakazi awataka wanasiasa kuacha shobo Pichani ni msanii wa HipHop Wakazi Msanii anayefanya muziki wa HipHop Bongo, Wakazi, amewataka wanasiasa nchini Tanzania, kuacha shobo na sio kila jambo lazima walihusishe na masuala yao ya kisiasa. Read more about Wakazi awataka wanasiasa kuacha shobo