Polisi wafunguka 'kutekwa' wasaidizi wa Mnyika

Abdulkarimu Muro (Msaidizi Katibu Mkuu CHADEMA) na Saidi Haidani Dereva wa Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika.

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu 2, akiwemo Msaidizi wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, aliyejulikana kwa jina la Abdulkarimu Muro na Saidi Haidani, ambaye pia ni Dereva wa Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS