Kibonge mwepesi aeleza sababu ya kupigwa na AJ

Bondia Andy Ruiz na Anthony Joshua wakiwa ulingoni.

Bondia Andy Ruiz Jr 'kibonge mwepesi' mwenye uraia wa Mexico na Marekani, amesema kuwa kuongezeka uzito pamoja na kula bata zaidi na marafiki zake, ndiyo sababu kubwa iliyopelekea yeye kuchezea kichapo mbele ya Bondia Anthony Joshua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS