Adakwa na karatasi zinazobadilika kuwa dola bandia

Mtuhumiwa Duach Toang, na karatasi bandia zinazobadilika kuwa dola.

Mamlaka ya Mapato nchini Uganda (URA), imemkamata Duach Toang, Raia wa Sudan Kusini, akiwa na karatasi zenye usawa wa dola na kemikali ambayo ukiimwaga, karatasi hizo hubadilika na kuwa dola ambazo ni bandia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS