Kushoto ni Haji Manara na kulia ni wachezaji wa Mbao FC
Kuelekea mchezo wa Ligi kuu soka Tanzania Bara kesho Alhamis 16, 2020, klabu ya soka ya Mbao FC imesema imejiandaa vizuri licha ya wapinzani wao Simba kuwa na kila kitu kinachoweza kuwapa ushindi.