Liverpool waanzisha mazungumzo na Antony Godon

Anthony Gordon

Klabu ya Liverpool inataka kufungua mazungumzo ya moja kwa moja kwa mchezaji wa Newcastle Anthony Gordon. Kuna uwezekano wa mchezaji huyo akajiunga na Miamba hao wa Premier League msimu huu wa Joto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS