Ancelotti ashtukia ujanja wa Guardiola

Carlo Ancelotti - Kocha wa Real Madrid

Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kauli ya  Pep Guardiola ni mbinu maalumu za kuwatoa mambingwa hao watetezi wa UCL mchezoni kuelekea katika mchezo wa marudiano utakaopigwa kesho katika uwanja wa Santiago Bernabeu  

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS