Ukraine walikuwa na uwezo wa kumaliza vita
Rais wa Marekani, Donald Trump ameishutumu na kuikosoa Ukraine baada ya rais wake, volodymyr Zelensky kusema kuwa lilikuwa jambo la kushangaza kwamba nchi yake haikualikwa kwenye mazungumzo ya amani huko Saudi Arabia ili kumaliza vita vya Ukraine.