RPC aeleza watu wanavyomshangaa kuweka Sanitizer

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana, ambaye kwa sasa yuko mkoani Mara amesema amelazimika kuweka sanitizer nyumbani kwake kwa ajili ya kujikinga na Virusi vya Corona kwa wageni wanaokwenda kumsalimia, lakini baadhi ya majirani zake wanamuona anajidai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS