Iringa: Mtoto anusurika kifo kwa kipigo cha baba

Baadhi ya wasamaria wema waliojitokeza kuona mgonjwa katika hospitali ya Wilaya ya Iringa

Wakati  jitihaha za kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa watoto zikiendelea, hali ni tofauti mkoani Iringa baada ya mtoto wa mwaka 1 mkazi wa eneo la Itunundu Pawaga, Wilayani Iringa kunusurika kifo kutokana na kupigwa na baba wa kambo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS