11 wapona, vifo 4, wagonjwa wapya 29 Tanzania

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametangaza ongezeko la wagonjwa 29 wa COVID-19 ambapo wote ni Watanzania, 26 wapo Dar es Salaam, wawili wapo Mwanza na mmoja yupo Kilimanjaro, hali inayopelekea Tanzania kuwa na jumla ya visa 88.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS