"Msemaji ni mmoja tu, nikipigana nitaua" - Manara Haji Manara na Masau Bwire Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema hamtambui Afisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire kama msemaji na kwamba yeye ndiye msemaji pekee maarufu na anayejulikana Tanzania. Read more about "Msemaji ni mmoja tu, nikipigana nitaua" - Manara