Mama Rwakatare kuzikwa leo

Askofu Dkt Getrude Rwakatare, wakati wa uhai wake.

Aliyekuwa Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto, Askofu Dkt Getrude Rwakatare, atazikwa leo, Aprili 23, 2020, katika viunga vya kanisa lake lililopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS