Mama Rwakatare kuzikwa leo Askofu Dkt Getrude Rwakatare, wakati wa uhai wake. Aliyekuwa Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto, Askofu Dkt Getrude Rwakatare, atazikwa leo, Aprili 23, 2020, katika viunga vya kanisa lake lililopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam. Read more about Mama Rwakatare kuzikwa leo