Fahamu uteuzi aliofanya Rais Magufuli Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dkt. John Magufuli amemteua Dkt Willy Lazaro Mbunju Komba, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kuanzia leo Mei 8, 2020. Read more about Fahamu uteuzi aliofanya Rais Magufuli