Dkt Shein ampongeza Rais Magufuli kwa hili

Kushoto ni Rais wa Tanzania Dkt Magufuli, akiwa na Rais wa Mapinduzi ya Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein.

Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein, amempongeza Rais Magufuli kwa hatua aliyofikia ya ujenzi wa Ikulu ya Dodoma na kumtakia kila la heri katika safari yake hiyo na kuongeza kuwa hiyo ndiyo raha ya kujitawala kwakuwa inakupa nafasi ya kufanya vitu kwa uhuru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS